Katika video hii utajifunza kuwa kila mtu anaweza kuwa milionea lakini ili kuwa bilionea unahitaji maarifa kutoka katika ramani ya maisha yako,
Hii ni sehemu ya pili ya muendelezo,
Vile vile utajifunza kwa nini wengi hufanikiwa kisha mambo kuharibika na pia utatambua ya kwamba mafanikio bila maarifa ni sawa kupandisha maji mlima.
Jiunge na channel hii kuweza kuamka kiakili, kimwili na kiroho na ukatae na ufungue njia zako mbadala za mafanikio na ushangaze watu waliodhani huna uwezo wa kupata mafanikio
Part 1 angalia hapa
[ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/lcyf1artp5w/maxresdefault.jpg)