Walipa ushuru watalipia zaidi viongozi wao. Hii ni baada ya rais, naibu wake mawaziri, wabunge, Wawakilishi wa Wadi pamoja na maafisa wengine wa serikalini kuongezewa mishahara kwanzia mwezi huu. Nyongeza hiyo ya mshahara inajiri wakati Rais William Ruto anakabiliwa na shinikizo kutoka kwa umma wanaofanya maandamano wakitaka gharama za juu serikalini kupunguzwa Pamoja na ushuru ambao umekuwa mzigo kwa wananchi.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
![](https://i.ytimg.com/vi/luZxDNc6G2E/maxresdefault.jpg)