MKURANGA Watekeleza FASTA MAAGIZO ya MAGUFULI, GARI la WAGONJWA LAKAMILIKA...
Rais John Pombe Magufuli alitoa maagizo Julai 30, alipokuwa akizungumza na wananchi katika wilaya ya Rufiji, ya kutengezwa kwa gari la kubeba wagonjwa katika halmashauri ya wilaya hiyo kujengwa kwa vyoo vya stendi ya mabasi ya Kibiti na Kutatua mgogoro wa Ardhi yenye ukubwa wa hekari 1,750 unaoendelea katika wilaya ya Mkuranga....
Kufuatia Maagizo hayo mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo, leo amekabidhi gari la kubebea wagonjwa katika halmashauri ya wilaya ya Rufiji...
Kwa mujibu wa Mhandisi Ndikilo Maagizo mengine yameanza kufanyiwa kazi ambapo ujenzi wa vyoo vya stendi katika wilaya ya Kibiti umeshaanza na unatarajiwa kukamilika ifikapo julai nane jumamosi ya wiki hii, huku mgogoro wa ardhi ukielezwa kushughulikiwa Julai nne, na waziri wa ardhi ambaye anatarajia kufanya ziara katika wilaya hiyo...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT AMAZON: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/mD-A0XsM-rI/mqdefault.jpg)