GUMZO! WAZIRI MKUU AACHIA MADARAKA na KUONDOKA na BAISKELI TU BILA MSAFARA wa MAGARI ya KIFAHARI...
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uholanzi, Mark Rutte ameondoka madarakani baada ya kushika wadhifa huo kwa miaka 14 tangu 2010 hadi 2024.
Kuhusu kumaliza kwake madaraka, kilichoibua gumzo ni namna ambavyo ameondoka kwenye jingo la Waziri Mkuu baada ya kukabidhi rasmi madaraka kwa mrithi wake, Dick Schoof.
Kiongozi huyo hakuondoka kwenye jengo hilo akiwa na umri wa miaka tisini, wala hakuondoka kwenda kaburini, wala hakuondoka kwenda jela baada ya mapinduzi ya umwagaji damu.
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉[ Ссылка ]
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
Ещё видео!