Najua unamfahamu mnyama paka yes paka ambaye tunamfunga ndani kwa ajili ya kudeal na paka, basi leo tuachane na huyo paka wa hapo nyumbani kwako nataka umfahamu paka Dr. Oscar yes Dokta aliejichukulia umaarufu mkubwa duniani......paka huyu anaitwa Oscar, anaishi Katika Kliniki ya Wazee katika kisiwa cha Rhode Huko US. Oscar anaweza kuhisi Mgonjwa anakufa saa kadhaa kabla, akikaa kitandani kwako zaidi ya saa basi wewe siku hiyo unaweza kufariki.
![](https://i.ytimg.com/vi/mY9sv0E3tVU/mqdefault.jpg)