Wanandoa Ester Kazwenge na Donald Kasiga wa Kijiji cha Bugogo wilayani Geita wameuawa kwa kushambuliwa kwa shoka, mapanga na mikuki na kisha miili yao kutumbukizwa kwenye shimo la choo. Polisi inamshikilia mjukuu wao akihusishwa na mauaji ya wanandoa hao.
#AzamTVUpdates #AzamNews
Tazama Vodacom Premier League, taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
► [ Ссылка ]
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/mb4pdxDYQig/maxresdefault.jpg)