JE QURAN NA HADITH ZINASEMA NINI KUHUSU ASILI YA SHETANI YAANI IBLISI. Madai ya Waislamu wa leo hii ni kuwa Shetani, Iblisi kwa asili ni Jini na kwamba Majini ni viumbe tofauti na Malaika;
Wanadai pia kwamba Malaika wameumbwa pasina uwezo wa kufanya maamuzi kwa ho hawana uwezo wa kufanya mabaya ila wote wanafuata Amri ya Allah.
Lakini Je Quran yasemaje kuhusu swala ili?
Fuatilia somo ili pamoja nami
![](https://i.ytimg.com/vi/mvgLEeQ-Cmo/maxresdefault.jpg)