DC JOKATE Ametuonesha Uchumi wa Kisarawe, Mawaziri Watoa Kauli!
Mkuu wa wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo, Leo Machi 30, amezindua rasmi kampeni yake ya 'TOKOMEZA ZERO' yenye lengo LA kuwasaidia wanafunzi waliopo katika shule za wilaya yake kupata mabweni na misaada mingine itakayowarahisishia na kuwajengea mazingira mazuri ya kusoma bila ya usumbufu.
Mgeni rasmi katika hafla hiyo ni Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, ambaye ameongozana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tamisemi, Selemani Jafo, ambao wote kwa pamoja wameunga mkono kampeni hiyo.
Hafla ya uzinduzi wa kampeni hiyo imefanyika katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar na kuhudhuriwa na Viongozi wa serikali, Wasanii wa muziki pamoja na waigizaji.
#DCJokate #TokomezaZeroKisarawe
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
Ещё видео!