MAZISHI YA KIBONDE WATOTO WALIA KWA UCHUNGU, JOSEPH KUSAGA ANENA MAZITO, MSIBA WA KIBONDE
Kaa Hapa Episode 42 Mazishi ya Kibonde.
#KaaHapaSe01 #MrishoMpoto
KAA HAPA ni kipindi maalumu kinachorushwa kila Jumatano ndani ya TBC1, kuanzia Saa 4 kamili Usiku. Na marudio ni kila Jumamosi Saa 5 kamili Asubuhi. Hiki ni kipindi kilichoanzishwa na msanii nguli Nchini Tanzania Mrisho Mpoto. Lengo la Mpoto kuanzisha kipindi hiki ni kuwaleta pamoja serikali (watawala) na Wananchi.
![](https://i.ytimg.com/vi/n3pLEYuBLCU/maxresdefault.jpg)