Rais Magufuli amesema meli iliyowahi kukamatwa katika bahari ya Hindi ikidaiwa kufanya uvuvi haramu, ilizamishwa makusudi ili kupoteza ushahidi, asema “Ndiyo maana nilipotoka pale nikaamua nitafute waziri ambaye ni kichaa kichaa kama mimi, nikampata Luhaga Mpina”.
Ni katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye Uwanja wa Ukuta Mmoja, Mjini Nansio, wilayani Ukerewe, Septemba 4, 2018.
![](https://i.ytimg.com/vi/n8IaMatQqFM/maxresdefault.jpg)