Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Mpina, wakati akichangia bajeti ya Katiba na Sheria ya mpango wa makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara kwa mwaka wa Fedha 2023/2024, amesema Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) ameshindwa kukusanya bilioni 170.61 ambazo tayari mahakama ilishawahukumu na walitakiwa kutoa na kupelekea kushindwa kukusanya fedha hizo.
Mhe. Luhaga, anasema anamwelewa sana DPP ila ni kitu gani kimempelekea kushindwa kukusanya mapato halali ya Serikali kutoka kwa Watu wanaodaiwa.
#7bisha
#MoyoWaMawingu
#KutokaBungeni
Ещё видео!