Kundi la watu wanaodaiwakuwa Wafanyabiashara wa Soko la Mchikichini lililopo Ilala jijini Dar es Salaam wamefunga barabara kwa mawe na magogo katika makutano ya barabara ya Uhuru na Kigogo yaliyopo Karume kufuatia kuteketea kwa moto kwa soko hilo siku ya jana.
Jeshi la Polisi limewatawanya Wafanyabiashara hao, ambao wameandamana huku wakiwa na mabango, wamefanya vurugu hizo wakidai kuwa wanataka 'soko lao'.
FULL VIDEO: MAANDAMANO YA WAMACHINGA KARUME, POLISI WARUSHA MABOMU YA MACHOZI...
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
TWITTER: [ Ссылка ] || [ Ссылка ]
FACEBOOK: [ Ссылка ]
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Ещё видео!