unaambiwa hakuna aijuae kesho yake.. Mariam anampoteza baba yake akiwa kidato cha tatu anabaki na mama yake na wadogo zake... Wanapitia maisha magumu sana kwani mama yake hakua na biashara yoyote na alikua anaogopa kuanzisha biashara.. Mariam anamaliza kidato cha nne anafeli na kuamua kutafuta kazi anaishia kupata kazi ya kuuza Bar.. Hapo ndipo anatusimulia maisha yake ya uuzaji wa bar ni balaa tupu.. Msikilize Mariam yale aliyoyapitia huko anasimulia..
![](https://i.ytimg.com/vi/o8oMjpz9uno/maxresdefault.jpg)