Kamanda Aliyeanzisha Msemo wa 'Watapata Tabu Sana' Kaongea Tena!
KAMANDA wa Polisi Mkoa wa Dodoma, SACP Gires Muroto amesema kauli yake ya Watapata Tabu Sana na Kipigo cha Mbwa Koko, siyo tu kwamba zilizua tishio la maandamano, bali wakazi wa mkoa huo ni watulivu sana ndiyo maana hawakuona haja ya kuandamana.
Muroto ameyaswema hayo jana Ijumaa, Juni 29, 2018 wakati wa uzinduzi wa Kituo cha Polisi Kinachotembea, katika eneo la Kisasa jijini humo ambapo Mgeni Rasmi alikuwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa.
Aidha, Muroto alisema kuwa, wananchi hao ni wazalendo, watiifu, wanaipenda amani ya nchi yao, wanatekeleza hayo kwa kuangalia usalama wa nchi na si kwa maslahi ya watu binafsi, ndiyo maana hawakuandama.
Install GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ]
Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
Ещё видео!