#Wayboy #rappersinger #Matalent #b2k
Artist : @Dawaytz ft @B2k Mnyama
Song: Ndo Huyu
Prod by Mr LG
Verse1 Daway
Lala la la la lala Laa lala
Lala la la la lala
Eh, Nimepata Hafueni mwana wa mwenzenu
ooh oh Nilichoka kuumizana,
Eenh Oh nipo taabani mwana wa mwenzenu
aah akisema twende nahama,
Kama haja ya moyo wangu
imetimia
Maana napewa vya uvungu
vya kuinamia
Oya Haka katoto ni katundu
Kamebobea
Nikitakaga cha uchungu
Nazidishiwa!
Ya nini niende niteseke Jangwani
Wakati mapenzi yamenawili shambani
Kwanini niende nkajifiche vichakani
Wakati nyumbani imeshamili amani
Chorus
Aloniridhia mimi
Ndo Huyu, ndo huyu
Akiwa mbali najionea chenga
Ndo huyu ndo huyu
Nilosema nampenda mwenzenu
Ndo huyu ndo huyu
Verse 2 B2k
Star Beat Boy
Nashukuru Rabanna
Leo hasubui njema kumekucha,
Nimezunguka sana
Nikitafuta mke mwema nimepata,
Nilitumia muda mwingi sana
Kutafuta furaha yangu nikakosa,
Leo umeonekana
siamini macho yangu kijacho posa tuu,
Sina wasiwasi na mtoto wa mtu
Ananipenda sana nampenda
Anazijua show ni fundi wa kila kitu
Ananipenda sana nampenda
Ndo maana kwake sibanduki,Nasimamia kucha sishuki
Hatukodi mamluki yaani,Mi na yeye mi naye
Na hatuchuji yani,Mi na yeye mi naye
Ya nini niende niteseke Jangwani
Wakati mapenzi yamenawili shambani
Kwanini niende nkajifiche vichakani
Wakati nyumbani imeshamili amani
Chorus
Aloniridhia mimi
Ndo Huyu, ndo huyu
Akiwa mbali najionea chenga
Ndo huyu ndo huyu
Nilosema nampenda mwenzenu
Ndo huyu ndo huyu
Daway - Ndo Huyu ft B2k (Official Audio Lyrics)
Теги
diamondplatnumzalikibamarioombossorayvannyjaymelodyharmonizezuchunewmusicney wa mitegoyoung lunyaaslaydayookontawamavokalisimbayangaazammillard ayosammisagonandyyammimacvoicelody musiccountry boylavalavamama samiapetsfunnyfashionb2kibraahfootballdavidowizkidremaburnaboychino kidrugermavinjoe boyfire boydawaybongo5manunitedbandariccmdar es salaammwanzaarushakusahroma mkatolikiyoung killerbaba levomwijakucloudswasafi