Rais William Ruto ameidhinisha nyongeza ya mshahara kwa wafanyakazi wa umma wa kiwango cha chini kutokana na mapendekezo ya tume ya kuwianisha mishahara na marupurupu ya watumishi wa umma-SRC’. Rais Ruto amesema mishahara hiyo itaongezwa kwa kati ya asilimia 7 na 10 kuanzia kesho. Nyongeza hiyo huenda ikaongeza gharama ya malipo ya mishahara ambapo serikali ilitumia asilimia 46 ya mapato yake kulipa mishahara mwaka-2022 ikilinganishwa na asilimia 44 mwaka wa 2021.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channell: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#kbcchannel1 #src #salaryincreament
![](https://i.ytimg.com/vi/oCibItlybNs/maxresdefault.jpg)