Naibu Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Ashatu Kijaji, amefanya ziara ya kushitukiza usiku kwenye mradi wa ujenzi wa Ofisi za Wizara hiyo na kuelezea kuridhishwa na kasi ya ujenzi wa ofisi hiyo inayojengwa na Shirika la Nyumba Tanzania-NHC katika Mji wa Serikali Ihumwa kwa gharama ya shilingi bilioni moja. VIDEO KWA HISANI YA AZAM TV
Ещё видео!