Katika Biblia tunakuta sehemu mbili. Sehemu ya kwanza huitwa Agano la Kale, sehemu ya pili huitwa Agano Jipya. Tunaweza tukajiuliza hii inamaana gani? Ikapatikana wapi hilo Agano Jipya?
Katika video hii tunaangalia maana ya neno Agano kwa mujibu wa Biblia. Kufanya hivyo tumeweka mifano mbali mbali ya maagano ambayo Mungu alifanya na Nuhu, Ibrahimu, na wengine.
Tunakaribisha mawazo yako. ~Ushahidi Films
Ещё видео!