Najua nina watu wangu wanaopenda kujifunza vitu mbalimbali kuhusu mapenzi na uhusiano kila siku.
Leo nakukutanisha na Dr Chris Mauki ambaye ni mtaalamu wa masuala ya saikolojia kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam ambaye alifunga safari hadi makao makuu Dodoma kwa ajili ya kutoa mafunzo kuhusu mambo ya mapenzi kupitia kitu kinaitwa Lovers Night.
![](https://i.ytimg.com/vi/okGDJGpBVkM/maxresdefault.jpg)