Waziri wa jumuiya ya Afrika Mashariki Rebecca Miano ametoa wito kwa wabunge wapya wa bunge la Afrika Mashariki kuharakisha utekelezaji wa miradi iliyoachwa na watangulizi wao kwenye jumuiya hiyo. Waziri Miano ambaye alikula kiapo kama mwanachama asiye rasmi wa bunge hilo aliahidi uungwaji mkono wa serikali katika kuhakikisha ufanisi wa maslahi ya Kenya katika bunge hilo na kutoa wito kwa wanachama hao kuwajibika na kujikakamua katika utumishi wao. Wanachama hao 9 sasa watachukua jukumu la kuongoza ajenda ya Kenya katika bunge la Afrika Mashariki.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: [ Ссылка ]
Follow us on Twitter: [ Ссылка ]
Find us on Facebook: [ Ссылка ]
Check our website: [ Ссылка ]
#KBCchannel1 #uapisho #EALA #News
![](https://i.ytimg.com/vi/ousxEwf1Zjs/mqdefault.jpg)