'Napendekeza kumwongezea fedha Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ili apate watumishi wa kutosha kwa kuajiri na kuwahamisha watumishi kutoka idara yoyote ya Serikali na kuwajengea uwezo kwa mafunzo na weledi wa ukaguzi wa thamani ya fedha ili kuweza kukabiliana na tatizo hili''Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba
Ещё видео!