Kesi ya Mbowe: Lowassa, Wafuasi Chadema Wafurika Mahakamani!
Ikiwa ni saa 48 zimepita tangu Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na viongozi wenzake watano wa chama hicho kupelekwa katika mahabusu baada ya kunyimwa dhamana katika kesi yao waliyosomewa Machi 27, Katika Mahakama ya Kisutu Dar.
Kesi hiyo ilitarajia kuendelea tena leo Machi 29, katika mahakama ya Kisutu, ambapo imeshindikana kufuatia kukosekana kwa gari ya kuwapeleka watuhumiwa mahakamani..
Wajumbe wa kamati kuu ya Chadema Akiwemo, Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Mwenyekiti wa chama mkoa wa Tanga, Fredrick Sumaye, walifika mahakamani hapo kwa ajili ya kusikiliza kesi hiyo, ambapo baada ya kushindikana kusikilizwa waliondoka.
Install #GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]...
TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Subscribe [ Ссылка ]
kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… [ Ссылка ] [ Ссылка ] [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ].
Ещё видео!