“Kwa majibu ya Serikali yaliyotolewa, taarifa ya Nishati iliyowasilishwa na majibu yaliyotolewa zamani na Serikali kwenye Bunge hili, ninaomba jambo hili tulifikishe mwisho.
Tumeshawahi kuyafikisha mambo magumu mwisho, tuliwahi kufikisha Richmond, ESCROW na hili kwa majibu ya mkanganyiko yanayotolewa na Serikali kuhusu katakata ya Umeme ya Watanzania, na kuwapelekea kwenye dhiki kubwa, Viwanda vinafungwa, uzalishaji unashuka na kupelekea mfumuko mkubwa wa bei..” Mhe. Luhaga Mpina Mbunge wa Kisesa akichangia mchango wake baada ya kamati ya Bunge ya Bajeti kuwasilisha Bungeni Jijini Dodoma.
#KutokaBungeni
#CloudsDigitalUpdates
![](https://i.ytimg.com/vi/pGu3F5a8Nws/maxresdefault.jpg)