Ndege ya PAN AMERICAN iliruka 1955 kutoka New York na ilitakiwa itue MIAMI...badala yake rubani alipitiliza kilomita 2000 pale uwanjani ...badala yake iliacha kupatikana katika Radar nakupotea jumla
Chakushangaza baaa ya miaka 37 katka Viwanja vya Caracas nchini Venezuela ndege hiyo ilitua.
MAAJABU
Watu walio kuwa katika ndege ile walikuwa na umri ule ule
![](https://i.ytimg.com/vi/pSl5Rh0J29I/mqdefault.jpg)