NAMUNGO YATUA MOROCCO: CEO wa Namungo FC, Omar Kaaya anatoa shukrani kwa ushirikiano walioupata, huku straika wa timu hiyo Adam Salamba akisema ana uzoefu na mechi kubwa na CEO wa Bodi ya Ligi, Almasi Kasongo anaeleza sababu za yeye kuambatana na Namungo FC nchini Morocco.
Ni kuelekea mchezo wao wa kwanza wa Kundi D Kombe la Shirikisho Afrika #CAFCC dhidi ya wenyeji wao Raja Club Athletic utakaopigwa Jumatano wiki hii.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
Ещё видео!