Mwananyamala kwa Kopa, Jijini Dar es salaam, kuna eneo maalum lililotengwa kwaajili ya Nyumba za milele kwa ndugu, jamaa na marafiki waliotangulia mbele za haki, ili kuhakikisha eneo hilo linakuwa salama wapo waliopewa jukumu la ulinzi…
Je ni yapi wanapitia nyakati za Usiku, Mwana Usiku kama mchana NTIBASHIMA EDWARD amebisha hodi huko, na kupiga stori na mmoja wa walinzi, huyu hapa …
Ещё видео!