SIMBA VS YANGA: Yanga wameshinda taji la Ngao ya Jamii kwa kuwatandika watani zao Simba bao 1-0 katika mchezo uliopigwa hivi punde kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Goli pekee la Yanga limefungwa na Fiston Mayele dakika ya 12.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►INSTAGRAM: [ Ссылка ]
►TWITTER: [ Ссылка ]
►FACEBOOK: [ Ссылка ]
►WEBSITE: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/r8DocyUN4Ts/mqdefault.jpg)