Matapeli wawili walinusurika kifo baada ya kushambuliwa na umma huko Narok. Mmoja wa matapeli hao alinyeshewa mvua ya ngumi na mateke lakini akaokolewa baadaye. Inadaiwa kuwa wamekuwa wakiwalaghai watu na kuwaibia, mtu mmoja akidai walimlangua shilingi elfu 25.
Watch KTN Live [ Ссылка ]
Watch KTN News [ Ссылка ]
Follow us on [ Ссылка ]
Like us on [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/rDSc_Rq_I5Q/maxresdefault.jpg)