KWA UCHUNGU! Rais MAGUFULI Amuaga RUGE Kwa Mara ya Mwisho
Mwili wa Aliyekuwa Mkurugenzi wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba, unaagwa leo Februari 02, katika ukumbi wa Karimjee Posta jijini Dar.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli ameungana na viongozi mbalimbali wa serikali pamoja na maelfu ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam kuuaga mwili wa aliyekuwa mwasisi na mkurugezi wa vipindi na uzalishaji wa Clouds Media Group Ruge Mutahaba aliyefariki dunia February 26 mwaka huu nchini Afrika Kusini Alikokuwa kipatiwa matibabu.
#RIPRUGEMUTAHABA
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram:
www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/rJCbqWUflN4/maxresdefault.jpg)