Jeshi la Congo FARDC limendelea na mapigano makali na waasi wa M23 kwa siku yake ya tatu huko Rugari wilayani Rutshuru Kivu kaskazini mashariki mwa Congo, waasi walishambulia kambi za jeshi la Congo za Nyesisi kilometa 35 kaskazini mwa Mji wa Goma karibu na mbuga ya wanyamapori ya Virunga, ambayo sehemu moja ipo upande wa DRC na sehemu nyingine upande wa Rwanda.
#VOASwahili
Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
![](https://i.ytimg.com/vi/r_k1W6PaZZA/maxresdefault.jpg)