@drtobias_ Hakikisha kila unachofanya kimetokana na maamuzi yako mwenyewe. Kamwe usiruhusu mawazo ya watu wengine bila kuyafanyia uamuzi wa mwisho. Chukua umiliki wa meli yako na wewe uwe nahodha na wala usiwe mhanga. Weka ndoto kubwa na hakikisha unakimbia mpaka kumaliza mbio, usiishie njiani. Wewe ni kondoo au simba?
Acha visingizio. Wanaoshinda huwa wanajiuliza wanaweza kufanya nini. wanaoshindwa huwa wanajiuliza hawawezi kufanya nini. kwa mfano kama unalalamika hauna pesa ya kufanya jambo fulani. nikikwambia nakupa Bilion moja ukileta Milion kumi. hakika utafanya kila linalowezekana upate milioni kumi kwa sababu kila mmoja anatafuta namna ya kuwekeza. hivyo kukosa kwako fedha sio kisingizio fanya kazi zaidi. @drtobias_ @FAFANUOMEDIA @drmahaba @WanawakeliveTv @mbengotv @Miwanda
![](https://i.ytimg.com/vi/rgtqap9N7hE/mqdefault.jpg)