Baadhi ya wafanyabiashara wa maduka yaliyopo mtaa wa Mwanjelwa Kata ya Ruanda na Kabwe Kata ya Iyela Mkoa wa Mbeya wamefunga maduka yao na wananchi wameathirika kwa kukosa huduma kwa madai ya kunyanyaswa na Mamlaka ya Mapato (TRA)
Wakizungumza na Busokelo Tv wafanyabiashara, wanunuzi na wachuuzi kutoka wilaya ya Mbeya wamedai kuwa wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato wanawakamata wateja na kuwanyang'anya bidhaa licha ya kuwa na risiti za mashine za EFD.
Ещё видео!