MIILI 15 ya NDUGU WALIOFARIKI AJALINI TAYARI KWA KUSAFIRISHWA, MIILI MIWILI TAYARI IMEZIKWA...
Miili 15 kati ya 17 ya watu waliofariki dunia kwa ajali ya gari iliyotokea wilayani Korogwe, Tanga imeagwa leo katika Hospitali ya Magunga, Korogwe tayari kwa ajili ya kupelekwa Rombo Mkoani Kilimanjaro kwa mazishi.
Ajali hiyo imepoteza maisha ya Watu 17 wakiwemo 14 wa ukoo mmoja wa Mrema waliokuwa wakisafirisha mwili wa Atanas Mrema aliyefariki dunia jijini Dar ambapo mazishi yake yalipangwa kufanyika Rombo, Kilimanjaro.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
Ещё видео!