Safari ya Made in Tanzania ilifika mpaka Dodoma katika kutambulisha kipindi kwa wadau mbalimbali wa Sekta ya Viwanda, Biashara na Kilimo na pia kuona kipaumbele kilichopo katika Wizara Pacha. Sekta hizi zinatoa ajira na pato la watanzania wengi kwa kiasi kikubwa sana. ⠀⠀ ⠀⠀
Made in Tanzania inashukuru kupata ushirikiano kutoka kwa Mhe Hussein Bashe - Naibu Waziri wa Kilimo katika kuipokea na kuipa baraka safari ya #MadeinTanzania.⠀
Usikose kufuatilia Made in Tz Show katika Clouds TV
Kila Jumatano saa 2:30 Usiku:
Kila Jumapili saa 9:30 Alasiri (Marudio)
SUBSCRIBE CHANNEL HII KUPATA INFOS ZAIDI!!!
Ещё видео!