Mkurugenzi wa Abood Media na Mbunge wa Jimbo la Morogoro Mjini Abdulaziz Abood amezungumzia pengo la mwanahabari na Mtangazaji Emmanuel Victor ambaye amefariki kwa ajali ya gari eneo la Mkambarani Wilaya na Mkoa wa Morogoro barabara kuu ya Morogoro- Dar es salaam.
Ajali hiyo imetokea majira ya usiku tarehe 20/02/2023 wakati mwandishi huyo akirejea nyumbani kwake Mkambarani akitokea Morogoro mjini
Ещё видео!