Kauli ya Kwanza, DC JOKATE Baada ya Kuapishwa
Mkuu mpya wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ameapishwa leo August 3,2018 mkoani Pwani na Mkuu wa Mkoa huo Evarist Ndikilo.
Baada ya zoezi hilo, DC Jokate ametoa shukrani zake za dhati kwa Rais Magufuli kutokana na heshima aliyompa ya kuongoza wilaya hiyo, pia amehaidi kuendelea kuwa mfano mzuri kwa vijana.
Install GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK:
[ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ], Suazi1 [ Ссылка ] WEBSITE:
Https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
![](https://i.ytimg.com/vi/shIGvv1JMPY/mqdefault.jpg)