Ndugu, marafiki na wanamichezo wameungana pamoja kuaga mwili wa aliyekuwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Simba SC, Zacharia Hans Pope katika viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam.
Kaimu mkuu wa kitengo cha Habari na Mawasiliano ya klabu ya Simba ndugu Ezekiel Kamwaga, ni miongoni mwa watu wakaribu waliochaguliwa kutangaza wasifu wa Marehemu Hans Pope.
Akiongea na wageni pamoja na waandishi wa Habari, Ezekiel alimtaja Hans pope kama mtu hodari aliependa kujituma na kusaidia watu wasiojiweza.
Baada ya shughuli hiyo kukamilika, Uongozi wa simba pamoja na Familia ya Hanspope utasafiri kuelekea Iringa kwa maziko ambayo yatafanyika Jumatano na inatajwa pia, tarehe 19 Wanachama wa klabu ya
Simba watajumuika pamoja kumuaga Zacharia Hans Pope uwanja wa Taifa kwa namna ya kipekee.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/slwGUXcwhxc/maxresdefault.jpg)