Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Uvccm Mkoa wa Ruvuma Comredi Raymund Mhenga baada ya kutembelea Mradi wa Ujenzi wa Vihenge vya kisasa kwa Ajili ya uhifadhi wa mahindi unaoendelea Mkoani Ruvuma.Mradi huo ambao unafanyika katika Mikoa 6 ambapo Mikoa Mitano vinajengwa vienge 6 lakini kwa Mkoa wa Ruvuma vinajengwa vihenge 12 na maghala Mawili na hadi kukamilika Mkoa wa Mradi huu utakuwa unaweza kuhifadhi mahindi tan 84,000 ambapo kila kihenge kinahifadhi Tani 3750 na Mradi unagharimu Bilioni 23.
![](https://i.ytimg.com/vi/sqlO60wxpTo/maxresdefault.jpg)