DODOMA: SAFARI ya Treni ya kisasa kutoka Dar es Salaam kwenda Dodoma inatarajiwa kuanza Julai 25 mwezi huu baada ya ujenzi wa kipande cha reli kutoka Morogoro mpaka Dodoma kuwa katika katika hatua za mwisho za ukamilishaji.
Waziri wa Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amewaambia waandishi wa habari mkoani Dodoma leo alipotembelea Stesheni ya Reli hiyo kuwa ameridhiswa na kasi hiyo na kwamba ni eneo dogo lililobaki kukamilika katika maeneo madogo.
Aidha ujenzi wa Setesheni ya reli ya Dodoma upo katika hatua za mwisho.
Imeandaliwa na Fadhili Akida
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
HATIMAYE SAFARI SGR DAR-DODOMA RASMI
Теги
ccmayo tvmillard ayoayotvmtanzaniadigitalmwananchidigitalharmonizetundulisuwasafi tvsimba tvazam tvhellen showstbc onlinehaji manarayanga scmanchester unitedliverpoolzuchuclouds tvkassim majaliwawaziri mkuuikulu mawasilianoflaviana matataMaalim SeifCoronaJPMDK Magufulispika NdugaiMama SamiaTulia AksonBungeni DodomaDiamond PlatnumzHarmonizeKTNTundulisuZitto KabweAli KibaZuchuCCMChademaSamiaSuluhuUchaguzi