MAADHIMISHO ya MIAKA 46 ya CCM GEITA - ''VIJANA CCM MUFUATILIE MIRADI YA MAENDELEO''....
Mjumbe wa Halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa Cde,Ramadhan Mwinshehe Mlao (MNEC),amewataka Vijana na Viongozi wa Chama Hicho Kuhakikisha wanawasimamia watendaji wa Serikali kutimiza wajibu wao kwausahihi kwa kusimamia na kuteketeza kwa ukamilifu Miradi inayo tekelezwa kupitia Ilani ya Chama hicho.
Ameyasema Hayo Jana Wakati alipokuwa Wilayani Mbogwe Mkoani Geita,Kwenye Maadhimisho ya Miaka 46 ya Kuzaliwa CCM,yaliyo andaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama hicho Mkoa wa Geita,ambapo amesema ipo haja ya Vijana Kuzungukia Miradi inayo tekelezwa kwasababu Chama ndio kimetoa ila Ilani Ya kutekeleza Miradi hiyo.
Pia ameongeza Kwa Kuwataka Vijana hao kutumia Fulsa Ya kilimo Iliyo tolewa Na Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Dr Samia Suruhu Hasani ili Iweze kuwainua ki Uchumi Watoke Kwenye utegemeji.
Kwa upande Wake mwenyeki wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Geita,Ndg Manjale Magambo,pamoja na Mwenyekiti Vijana Mkoa Wa Kagera,Ndg Faris Buriani, wameongeza Kwa Kusema Kuna Pesa nyingi zimeletwa Kwaajiri ya Miradi Ya maendeleo hivyo Wao kama Vijana Wamejipanga kusimamia Miradi Yote Iliyo tekelezwa na inayo endelea kutekelezwa
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: [ Ссылка ]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:[ Ссылка ]
⚫️ iOS:[ Ссылка ]
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: [ Ссылка ]
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: [ Ссылка ]
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: [ Ссылка ]
⚫️ GLOBAL RADIO TV: [ Ссылка ]
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: [ Ссылка ]
⚫️ Subscribe Global TV [ Ссылка ]
![](https://i.ytimg.com/vi/tQH3cXN7pGs/maxresdefault.jpg)