Rais Mstaafu Dr.Jakaya Mrisho Kikwete amezungumzia historia iliyosababisha ujenzi wa mradi wa reli ya kisasa SGR inayoanzia Dar es Salaam hadi Makutupora Dodoma kisha baadae kwenda katika mikoa mingine mbalimbali.
Mstaafu Kikwete ameyasema hayo wakati wa ziara ya ujenzi wa reli hiyo ya kisasa iliyowahusisha Marais wastaafu akiwemo Ali Hassan Mwinyi na Mawaziri wastaafu.
Ещё видео!