Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 28 Desemba, 2018 atakutana na viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), vyama shiriki, watendaji wakuu wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF na NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) kujadili masuala yahusuyo mafao ya wafanyakazi hususani Kikokotoo.
Mkutano huo utafanyika Ikulu Jijini Dar es Salaam ambapo Mawaziri na Makatibu Wakuu wa Wizara husika watashiriki.
Ещё видео!