JPM Amlipua Makonda Sakata la Makontena!
Rais John Magufuli ashangazwa na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuingiza makontena 20 nchini yenye samani mbalimbali na kukataa kutalipia kodi akidai kwamba ni msaada kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya elimu kwa mkoa huo.
Magufuli amesema hayo leo wakati akizungumza na watumishi wa serikali wilayani chato mkoani Geita ambako yuko mapumzikoni.
“Umezungumza na wafanyabiashara huko, umeingiza makontena yako eti yana fenicha za walimu hata shule zenyewe hazitajwi, nani amekwambia walimu wanahitaji masofa?” amesema Rais Magufuli.
nstall GlobalPublishersApp Android: [ Ссылка ] iOS: [ Ссылка ] Subscribe [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] Visit [ Ссылка ],
Suazi1 [ Ссылка ] WEBSITE: [ Ссылка ] FACEBOOK: [ Ссылка ]... TWITTER: [ Ссылка ] INSTAGRAM: [ Ссылка ]..
JPM Amlipua Makonda Sakata la Makontena!
Теги
JPMAmcharukiaMakondaUsilipe Kodi Kwani we Nani?RAIS MAGUFULIMAKONTENA YA MAKONDAPAUL MAKONDAWAZIRI WA FEDHADKT PHILIP MPANGOMAKONTENA YA MAKONDA YAKWAMA BANDARINISAKATA LA MAKONTENA YA MAKONDAMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAMWAZIRI MPANGO AAGIZA MAKONTENA YA MAKONDA YAPIGWE BEITRAMAMLAKA YA MAPATO TANZANIAGLOBAL TV ONLINESAKATA LA MAKONTENA 20Sakata la Makontena!JPM Amlipua Makonda Sakata la Makontena!MAGUFULIRAISIKULUMAKONDAMAKONTENA