Ni maadhimisho ya miaka 54 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania yakifanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma, yakipambwa na burudani za aina mbalimbali ikiwemo gwaride pamoja na halaiki.
Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.
Ещё видео!