Wabunge vijana wanaoegemea mrengo wa serikali wameunga mkono hatua ya rais William Ruto ya kutupilia mbali mswada wa fedha wa mwaka 2024. Kulingana na mwenyekiti wa wabunge hao Gitonga Mukunji, hatua hiyo ya rais imetoa nafasi ya kuwashirikisha vijana kikamilifu kwenye meza ya mazungumzo kuyatatua masuala yanayowahusu.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news updates, discussions and other exciting shows.
Website: ntv.nation.co.ke || Paper: Daily Nation || Twitter: @ntvkenya || Facebook: NTV Kenya || Instagram: NTV Kenya
![](https://i.ytimg.com/vi/uU3rEGKe0qQ/maxresdefault.jpg)