PART TWO
Simu ni kifaa kinachochangia kwa kiasi kikubwa kuvunja mahusiano. Lakini, unapokuta ujumbe kwenye simu ya mumeo/mpenzi wako toka kwa mwanamke ikisema 'I Love You' utafanyaje?
Lillian Mwasha anautafuta ukweli toka kwa magwiji wa Psychology na Mahusiano, Dr. Chris Mauki wa UDSM, Dr Ellie Vd Waminian pamoja na Aunty Sadaka.
#WomenMatters
![](https://i.ytimg.com/vi/ucu9Hf2DZMs/maxresdefault.jpg)