Ikiwa ni siku kadhaa zimepita tangu mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini Mwita Waitara kuekana akilua na tukio jingine akionekana kutoka nje ya bunge kuashiria kutiridhishwa na majibu ya serikali jambo ambalo lilitafsiliwa na na Spika wa bunge kuwa ni kukiuka kanuni za bunge
Kufuatia hayo yote na mengine Ayo TV tumempata kwenye interview ili kujua sababu za yeye kulia na ametukeleza kiini cha mgogoro katika eneo la Nyamhongo na maeneo ya Hifadhi mkoani Mara ambao ndio ulimfanya amwage machozi
Ещё видео!