MAJONZI: Mtoto wa KIBONDE Alivyoona JENEZA la Baba Yake Aishiwa NGUVU!
Ni majonzi yasiyosimulika kwa familia ya Mtangazaji wa Clouds FM, Marehemu Ephraim Kibonde, baada ya kumpoteza mpendwa wao tena ghafla...
Video hii inamuonesha mtoto mkubwa wa marehemu Kibonde akiwa ameshikiliwa mithili ya mtu aliyeishiwa nguvu baada ya kulishuhudia jeneza la baba yake likishushwa Airport na kuwekwa ndani ya gari usiku wa kuamkia leo Machi 08....
#RIPKIBONDE
[ Ссылка ]... Watch More Videos here: [ Ссылка ] Watch More Videos here: [ Ссылка ] Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter:
www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: [ Ссылка ] Install Global App: iOS: [ Ссылка ]
Ещё видео!