DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Viwanja vya Ndege Nchini (TAA), imewataka Watanzania kuchangamkia fursa za kibiashara na uwekezaji zilizopo katika viwanja vya ndege nchini, huku akibainisha kuwa viwanja vya ndege sio tu kwa ajili ya kusafiri, ila shughuli nyingine za kijamii, kiuchumi na uzalishaji zinaweza kufanyika.
Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi wa Fedha wa TAA, Shadrack Chilongani, aliyemwakilisha Mkurugenzi Mkuu wa TAA, na kueleza kuwa wameshiriki Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), maalum kwa ajili ya kuwaeleza wananchi shughuli zinazofanywa na TAA sambamba na fursa zilizopo.
“Katika viwanja vyetu, unaweza ukawekeza kujenga mahoteli, kumbi za mikutano, vituo vya kujaza mafuta, migahawa na fursa nyingine,” amesema kiongozi huyo.
Follow us on:
FACEBOOK;
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
HabariLeo: [ Ссылка ]
DailyNews: [ Ссылка ]
INSTAGRAM;
HabariLeo: [ Ссылка ]...
SpotiLeo: [ Ссылка ]...
TWITTER;
Twitter HabariLeo: [ Ссылка ]
TAA YAITA WAWEKEZAJI VIWANJA VYA NDEGE
Теги
ccmayo tvmillard ayoayotvmtanzaniadigitalmwananchidigitalharmonizetundulisuwasafi tvsimba tvazam tvhellen showstbc onlinehaji manarayanga scmanchester unitedliverpoolzuchuclouds tvkassim majaliwawaziri mkuuikulu mawasilianoflaviana matataMaalim SeifCoronaJPMDK Magufulispika NdugaiMama SamiaTulia AksonBungeni DodomaDiamond PlatnumzHarmonizeKTNTundulisuZitto KabweAli KibaZuchuCCMChademaSamiaSuluhuUchaguzi