Pichani ni Mtanzania Mbwanna Alli Samatta akiwa njiani kwenda Aston Villa.
Imeripotiwa Aston Villa wako tayari kulipa Euro milioni 10 ili kumsajili mshambuliaji Samatta kutoka Genk.
Aston Villa ina shida kubwa ya straika kutokana na majeraha ya goti yanayomsumbua mshambuliaji wake wa sasa Wesley.
Kama dili litafanikiwa basi Samatta atakuwa mtanzania wa kwanza kucheza Ligi Kuu ya England.
Ещё видео!